EA TV reports ali kiba divorce
EA TV reports ali kiba divorce
Rumours just in courtesy of East Africa TV have it that Ali Kiba has divorced his wife through Islamic customary tradition of talaka tatu. The couple has been having issues that stem from first, Amina Khalef (Ali Kiba's wife) having to live in a house with her in-laws, tension between her and her mother-in-law aswell as her having an issue with Ali Kiba's past and the fact that he has baby mamas who visit the home frequently.

According to the East Africa TV report, Ali Kiba decided to part ways with his wife after failing to come to an amicable solution to the differences between her and his sister and mother.

Read the report for yourself below:

Msanii Alikiba a.k.a King Kiba amempa talaka tatu mkewe Amina Khalifa raia wa kenya baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya ugomvi wao na ndugu wa Alikiba na Mama wa Alikiba.

Ndoa ya King Kiba ilianza kuingia dosari baada ya Amina kutaka ndugu wa Alikiba wakajitafutie maisha yao na wajitegemee jambo ambalo lilizua taharuki na ugomvi mkubwa baini ya ndugu wa Alikiba na Amina..

Amina alidai ni vigumu kuishi na watu wengi vile ndani ya nyumba moja ambapo mpaka wasanii wake wa Kings Music Wanaishi Humo humo, hata kama ni ghorofa na bado kuwe na amani ..hivyo alimshauri alikiba awape mitaji wakajitegemee au awapangie nyumba nyingine