Diamond Platnumz

Fans have elicited mixed reactions after seeing a seemingly flopping show of Tanzanian singer in Ottawa, Canada.

The singer, who is in the North American country for a tour has completed three shows in Vancouver, Toronto and Ottawa. He is set to perform his final show on Sunday 23rd in Edmonton.

Of the shows he has performed in, only one has been posted by his crew leaving fans in a state of shock that his Ottawa show was not well attended.

 

Rumours had it that some revelers left the show as the singer had come late to the performance.

Watch;

Check out fans' reactions;

 

CatherineKinyua: You guys you have to know Canada people are busy USA pia tuko busy, so sometimes kupata time ya kueda out ni shinda, but akija Washington will support our own Mondi

Dullah Firmino: Yani ukubwa wote show yenyewe watu hata 200 hawafiki

Dagaamchrlr: Tuoneshe umati tujue kama full house au vp tukuponde

Official abdul: M nishabiki kwel wasimba ila waeast africa tutoke magetoni simba si wakupiga show club wakati wapopo wanajaza arena

Emmanuel Kasese: UKWELI TUONGEE KUHUSU KIMATAIFA MONDI KASIMAMA PALE PALE KAMA MJANJA ATAFUTE MENEJA MWENGINE SALAM HAPO NDO MWISHO WAKE

Darsolver: Mwambie mpiga picha aludi nyuma zaidi uone vichekesho hapo au nipost ila hayanihusu kiukweli walijiinjoi

Alphonsebangu: Mbone kama ni watu Kumi tuh🫣😁😁

Jiibi bra: Nyie sio waku post Iyo video sio vizuri kabisa kumzalilisha mwamba

Swahilimedia: Ila bado tunahitaj umoja ili kujaza kumbi za nje,yan nakupenda diamond embu muwe kitu kimoja bongo,umoja wa west africa ndo umewafikisha pale

Mmasai masai: Hata nyie watu wake wa karibu msiwe mnamfia boss wenu kinafki ili azidi kujaaa ujinga na kushindwa kuongeza juhiid kwenda mbali zaid, lkn nyie kila anacho fanya mond sifa kibao hatakma vingine huwa n vya kipumbavu nyie huumcfia tu ili mpate maokoto Na yeye kwakuwa hajui anaona watu wangu wafanyakazi wangu wananikubali paspo kujuwa km nyie wafanyakazi ndy chanzo cha yeye kudolola, maana mnamjazaa ujingaaa, ACHENI mambo yenu bhana mtazidi kumrudisha nyuma huyu kimuziki, Na mkiendelea na hii tabia ya kumsifia boss wenu kwa kila kitu ipo sku atawakosoa nyinyi maana tyr atakuwa keshajirizisha uzamwamwa wenu,

View Comments