Z. Anto, the hitmaker of Binti Kiziwi, has finally risen from the dead, lol. Apart from being a singer he claims to be a businessman and has 70 jobs.

Recently, he had an interview with Bongo5 and had much to say. He bragged that he would work his way up unlike Alikiba and Diamond and that he wont use ways that the two use which is doing things out of their respective genre just to gain fame.

He also said that his looked for ways to make it in the music business.Fans had nothing but throw shade at him.That not being enough he claimed to come with a new management that will take responsibility and help him breakthrough in his music journey.

“Mimi ni mkongwe kwenye huu muziki na bado nina nafasi ya kufanya mambo makubwa zaidi,” alisema Z Anto. “Najua kwa sasa Diamond na Alikiba ndio wasanii wanaozungumziwa zaidi lakini mimi sina haja ya kushanda nao muziki wangu nitaupitisha katikati yao.

Here are comments written by fans:

mtunecessary: Kama utaweka bidii tu

longnus_tha_rap_son: Ukweli utapatikana ukitoa kazi

kalimbayamabanziniso: Kwa zile qaswida

official__kba: 😁😁😁 hangaika hangaika tu baba karibu kweny game ila sio hzo ndoto zako 😁😁

life_in_the_time_of_isihaq: Kwanini kila mtu aliyepotea anawazungumzia hawa watu ishini maisha yenu aisee