Sallam tested positive for Corona Virus. The businessman and showbiz mogul was with Diamond in Europe for the singer’s tour which was cancelled.
With the interactions they had this could mean that the singer, his dancers, family and entire crew might or might not be in danger
Sallam confirmed on Instagram that;
He also captioned that;
HABARI…!! Napenda kuwajulisha na kuwatoa hofu ndugu, jamaa na marafiki kuwa nimepata majibu ya vipimo na nimeonekana nikiwa na Corona Virus, kwa sasa nipo chini ya uwangalizi mzuri na afya yangu inaendelea vizuri, pia niishukuru serikali kwa maandalizi mazuri na huduma nayopata wodini, Kwenye kituo toka juzi nipo peke yangu kama nimekikodisha vile 😅, wahudumu wanaushirikiano mzuri Mungu awalinde na awape afya njema maana wamejitolea nafasi zao kutupatia huduma sisi waathirika, hili janga la kimataifa linakwepeka kama tutafuata ushauri nasaha kutoka kwenye Wizara husika, naomba kwa wote tuwe salama na familia zetu, tuchukue tahadhari mapema. Be Strong and Be Safe Everyone out there #AllahBlessUsAll
Get well soon MANAGER..
Get Well soon Boss ... 🙏
Itapita hii Arbab..Watu wanapanikishana sana wakati Mgonjwa unachat kama nini 😀😀😀 ..Get well soon @sallam_sk
Get well soon Don Mendez
Pole Sana Meneja ISHALLAH MUNGU ATUSIMAMIE
Mungu akuponye Manager 🙏🙏🙏🙏
Daaah pole sana Ndugu yangu, Mungu ni mwema sana siku zote AKUPONYE mapema🙏🙏🙏🙏
Ebu video tukuone tujue kama mzima unatutia hofu sisi watu wa Moro @sallam_sk
U will be super fine @sallam_sk ur on our prayers, Bless You
Oh snap!! Feel better soon @sallam_sk