Chibu Dangote has apparently built a mosque, as revealed by Harmonize.
Harmonize took to social media to shower Diamond with praise for doing such an honorable thing to the society, stating that these are some of the acts that have brought so much success and blessings in his life.
"#MasjidNaseeb 🕌🕌🕌 Sio jambo rahisi sana....!!! Kwa watu wenye mafanikio hapa duniani kumkumbuka M/mungu na kujiwekea amali njema mbele za #Allah..!! M/mungu akubariki na akuongezee kila panapokucha ....!!! hii inanifunza na kunifanya niamini kuwa ndiomana kila kukicha unazidi kufanikiwa kutokana na Dua njema za watu wengi.....!!
Pamoja na baraka za #Allah waislam washaanza kusali katika huu msikiti ulioujenga hapa Mtwara....!!! haukutoa kwasababu unakingi naamini kuna wenye kingi zaidi ila ulifanya hivi kwakuamini katika imani na kujua kuna watu wana uhitaji katika njia za Allah lakini pia ni Amali njema mbele za Allah na umekuwa ukinisistiza sana....!! Kuusimamia mpaka sasa tunafikia hatua za mwisho kabisa....!!! Inshaallah M/mungu peke ndio mwenye uwezo wakukulipa katika hili....!!! 🙏🙏 Naseeb Abdul juma mtoto wa Binti Sandra @diamondplatnumz & @mama_dangote."
https://www.instagram.com/p/BkrlHLdlSNy/?taken-by=harmonize_tz
Diamond is very business minded as we have gotten to see over the years. When he sees an opportunity to do something, he grabs it and works on it tirelessly. He runs a record label, Wasafi Records, he has his own perfume line and he also sells his own peanuts, Diamond Karanga.
With such work ethic, Diamond's kids will never suffer after he retires or God Forbid, passes away.