Harmonize did not start his December on a high like most of us have.
December is a month of love, fun and family. But for him, it's proving tricky after his wife exposed him for claiming he has a two-year-old. Apparently, the child is not his, if the DNA results she posted are anything to go by.
He posted saying he is sorry for ignoring the daughter for the last two years and he promised to be there for her.
The next thing we know, Sarah, his wife was like I am done with you bro. She took to social media saying,
“Niliolewa na wewe sababu nilikupenda, ulikuwa kila kitu kwangu na nilikuchagua kama ulivyokuwa na nikakupa mapenzi yangu yote na nilijitahidi kukupa furaha ambayo wewe hukuweza kunipatia. Siku baada ya siku nimekuja kugundua kuwa upo tofauti kabisa na huna adabu kwa mtu yeyote. Na hukujua kumtunza mwanamke kama mimi au kujivunia kwa mtu ambaye amekupa maisha mazuri. Na hujui kuheshimu watu waliokupenda na waliokuwa wanakusapoti.muda mwingi nagundua kuwa wewe ni muongo na bandia kwa kila kitu .
Nimepitia mengi kwenye haya mahusiano x ndoa na kama nikiviweka vyote hapa kila mtu atashangaa sababu unasuka tofauti kabisa. Siku zote unavaa kinyago usoni pako. Sina hata maneno mengi yakusema kwa sasa .. hujawahi kushukuru hata siku moja kwaniliyokufanyia na sasa umechelewa. maisha yatakufundisha somo ambalo unastahili kwa vitu vyote ulivyonifanyia na kwasasa nitazingatia maisha yangu. Ubarikiwe na sasa upo na muda wakuwa na mwanamke yeyote umtaye njiani..
Na nikushauri: jifunze jinsi ya kuthamini na kuheshimu kile watu walichokufanyia....”
Now for those who do not understand Kiswahili, Sarah is basically saying that she married Harmonize for who he was and she loved him 100%. But recently there have been a lot of revelations when it comes to their relationship that are not pleasing.
Sarah also felt that he did not take care of her as his wife. She just wants things to end and she says airing their dirty linen past this will be a shock to us as in-laws.
And she concluded by telling Harmonize that he should learn to respect his babes. A lesson he should carry into his next relationship now that he is single.