Men and towel
Men and towel

There has always been that debate that yes 'Mwanaume ni effort' but there are things a man shouldn't do or own.

Well blame it on toxic masculinity but many have grown to subscribe to those ideas.

So a poll was recently done on the number of towels a man should own and well the answers from the gentlemen were too hilarious to ignore.

Trust me if you need a good old laugh as we near the end of 2020, then you need to read the answers below;

Alkapon: Mwanaume anafanya nini na towel😅 mwanaume ni kukaa kwa jua akauke😂

Slime: Moja tu na tunaitumianga kushikia sufuria tukipika ugali pia

Frank Francis: What is a Towel?! 🤷🏽‍♂️ Mwanaume ni kuoga alaf unapigwa na shock unakauka😅

Future the kid: Mwanaume nikuroll kwa mchanga maji itoke

Vonn Muriuki: Mwanaume anapaswa kusimama kwa balcony akauke🤣🤣

Alfred Kinyae: Mwanaume ni kuruka ruka hadi unakauka, hapana tambua towel

Gabriel Kennedy: Towel ya nini kwanza, hio kitu haifai kuwa kwa vocabulary ya mwanaume, mwanaume akishaoga anatingikatingika kama doggy na anaenda kuvaa nguo

Evalyna: Towel ya kazi gani,mwanaume ni kuoga mara moja kwa mwezi na kukaa kwa jua akauke😂😂

Phylo: Mwanaume ninkujitingiza kama paka alafu anakauka towel ni ya kupiga pasi tu

Deejay rix: Towel ni brand ya kiatu gani? Mwanaume ni unatoka nje unatingika kama mbwa maji ina evaporate😂😂😂

Karoko: Mwanaume anafanya nini na towel... mwanaume ni kujirusha kwa moto akauke

Ken de shirox: Mwanaume towel ni ya kufanya nni sasa....mwanaume akishaoga ni kujipanguza na ukuta ukipita ukienda kuvaa

Maureen Makena: Moja ya black 😂😂

Wizz Mwas: Mwanaume ata hafi kuwa na ngozi

Malik: Moja ya kuosha nyumba the rest nature will sort 

Tintin: MWANAUME UNAFANYIA NINI TOWEL LABDA SAND PAPER