Well guys and ladies, when it comes to sleepover did you know here are rules you should abide with?
I mean when she invites you over or when he wants you to 'keep him company' sometimes it is not only just about sex but there are some expectations.
Well ladies and gentlemen here is what is expected of you when he or she invites you over.
Joygrace: Kazi imekupeleka huko ni moja ukiitaka kazi ya nyumba apply kwenda dubai ππππππ
Kors Andrew: Usiache viatu kwa mlango π utachoma π... Weka ndani πππ
Gloriah: Hakuna kuvaa tishirt ya promo wakisii mmeskia?
Tit ball: Hakuna kulala na nguoππππ
Dj Adams: Ukiamshwa asubuhi unaenda kwenu
Boiling point: Alaf ukikuta pantie si yako uko,,uwachane nayo hio ni yangu huwa navaa nikiekelea bet
Daudi: Ujue saa tisa mih huamka kuchota maji ya mvua
Hot werker: Hakuna kukojoa na nguvu, majirani wataamka wakidhani maji imekuja wachotelee
Mapetco: Msikuje ivo beba ata pesa ya mkate boychild anaumia uko nje
Shihu: Usicomment kuhusu bedsheets hata kama ni chafu wewe lala tu
Vinny: As a lady, akuna kutoka toka nje ovyo ovyo,.. Mlango ikibishwa potelea nyuma ya curtain n let me hundle the visitor
Richie: Masaa ya kulala mwenye nyumba andoze side ya ukuta