The Tanzanian government through its regulatory body 'Baraza la Sanaa la Taifa' (BASATA) has congratulated Diamond Platnumz on his BET Awards 2021 nomination.
His nomination is under the Best International Act against the likes of Wizkid and Burna Boy as the only East African.
BASATA recognized the singer’s achievement adding that his nomination and a hopeful win, will boost Tanzania’s economy.
“Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linapenda kumpongeza Msanii Nasib Abdul (Diamond Platnumz) kwa kufanikiwa kutajwa kuwania tuzo la Black Entertainment television (BET) za mwaka 2021 katika kipengele cha Best International Act( Msanii aliyefanya vizuri kimataifa).
Haya ni mafanikio makubwa sana katika maendeleo ya Sanaa si kwa Diamond pekee bali kwa Tasnia nzima ya muziki wetu wa Tanzania. Hivyo msanii akishinda tuzo hili, Taifa nzima linapata sifa; na hii ni njia moja wapo ya kuvutia wekezaji kutoka ndani na nje ya Nchi na hatimae kukuza uchumi wetu.Kwa nafasi hii BASATA inatoa wito kwa wadau wa Sanaa na wananchi wote kwa ujumla walio ndani na nje ya nchi kumuunga mkono msanii wetu ili afanikiwe kutwaa tuzo hii.” The statement read.
At least Diamond and the BASATA board are now in good terms. You remember how much drama he had with his songs being brought down to a point he was even banned from performing in Tanzania.