dj zawadi shaved in public
dj zawadi shaved in public

Earlier this week a video of a man being forcefully shaved in public went viral, with members of public calling upon the police to take actions against those responsible for the heinous act.

It was reported that the victim, DJ Zawadi, had his dreadlocks forcefully shaved off by his haordresser’s boyfriend for failing to pay for the services rendered months ago.

 

Days later, DJ Zawadi has spoken out regarding what transpired. He admits he was on the wrong but revealed that the same people who harassed him also made way with his money, silver rings and two mobile phones.

Ule boy mwenye walichanja dready huko Koma, na hii sio ya clout nataka kuweka vitu right. Mimi na Judy ndio huyo mdem tulikuwa na deal na deal part yangu yes naweza kubali nili fail lakini ni due to some circumstances.

Hao ma goons walinipiga na wakaniibia by the way watu hawajui nilibiwa, nilibiwa iphone 6 nilikuwa na android phone kwa mfuko nilikuwa na dooh nilikuwa na pete zangu za silver nilikuwa na chain ziliibiwa zote na hao wasee lakini haina shida. Nilikatwa hadi tattoo yangu ni fresh iko na scar walijaribu kuikata.