Kenya Film Classification Board has banned Alvindo's Taka Taka because "its obscene and degrading lyrics that advocate for violence against women by equating them to trash."
Take a look at the first verse of the song.
"Unakataa kua dem Yangu
Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufana nakujaa kwa mazishi yako
kukula na Kukunywa
na kukula nikucheke ukizikwa
(You refuse to be my bae, I go to a witch doctor who hexes you. You die. I will come to you funeral and eat, drink and be merry. I will laugh at you as you are buried. )"
Here are the rest of the lyrics.
Unaringaga unaringa nini
na sura mbaya ata kuliko mbuzi
roho chafu kama ya shetani
unadhaniaga wewe ni nani
[Takata taka taka
mapepo zinakufwata
sijui ata ni nini niliona kwako
ata ningejua ningekatia dadako]x2
Ulinikataa juu ulijua ntakukataa
juu ka hungenikataa mi ningekukataa
so nilingoja tu we ndo unikatae 1st
cos am a gentleman and ladies go 1st
But let me tell u something young woman
apana wekea wanaume roho ya chuma
ukikatiwa joh kubali kukatika
ama ukizeeka ndo maringo itaisha
bure kabisa na ukwende kabisa
na utume beshte yako akujie izo nguo ulibakisha*2
Unakataa kua dem Yangu
Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufa
na nakujaa kwa mazishi yako
kukula na Kukunywa
na kukula nikucheke ukizikwa
Unaringaga unaringa nini
na sura mbaya ata kuliko mbuzi
roho chafu kama ya shetani
unadhaniaga wewe ni nani
[Takata taka taka
mapepo zinakufwata
sijui ata ni nini niliona kwako
ata ningejua ningekatia dadako]x2
Kukupenda ndio mi huregretingi tu sana
hata natamaningi hatungewai patana
unaishi maisha fake na umejaa tu madrama
ata nashukungu uliwachiangwa laana
mara ati leo unaitwa Natasha
kesho umechange jina unaitwa Soni
mara uko single kesho ukona bwana
mara unaishi ronga mara unaishi Doni
I even suspected ur a criminal
na kama we ndo dem acha nikae hivo
staki ata mwingine acha nikufe single
umeniacha na chronic bachelor syndrome
Unakataa kua dem Yangu
Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufa
na nakujaa kwa mazishi yako
kukula na Kukunywa
na kukula nikucheke ukizikwa
Unaringaga unaringa nini
na sura mbaya ata kuliko mbuzi
roho chafu kama ya shetani
unadhaniaga wewe ni nani
[Takata taka taka
mapepo zinakufwata
sijui ata ni nini niliona kwako
ata ningejua ningekatia dadako]x2
Alvindo is yet to comment about the ban.
Check out the press release.
Read more