A government run organisation has banned a song that went viral on social media about a jilted young man who disses his ex.

Kenya Film Classification Board has banned Alvindo's Taka Taka because "its obscene and degrading lyrics that advocate for violence against women by equating them to trash."

Take a look at the first verse of the song.

"Unakataa kua dem Yangu

Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufana nakujaa kwa mazishi yako

kukula na Kukunywa

na kukula nikucheke ukizikwa

(You refuse to be my bae, I go to a witch doctor who hexes you. You die. I will come to you funeral and eat, drink and be merry. I will laugh at you as you are buried. )"

Here are the rest of the lyrics.

Unaringaga unaringa nini

na sura mbaya ata kuliko mbuzi

roho chafu kama ya shetani

unadhaniaga wewe ni nani

[Takata taka taka

mapepo zinakufwata

sijui ata ni nini niliona kwako

ata ningejua ningekatia dadako]x2

Ulinikataa juu ulijua ntakukataa

juu ka hungenikataa mi ningekukataa

so nilingoja tu we ndo unikatae 1st

cos am a gentleman and ladies go 1st

But let me tell u something young woman

apana wekea wanaume roho ya chuma

ukikatiwa joh kubali kukatika

ama ukizeeka ndo maringo itaisha

bure kabisa na ukwende kabisa

na utume beshte yako akujie izo nguo ulibakisha*2

Unakataa kua dem Yangu

Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufa

na nakujaa kwa mazishi yako

kukula na Kukunywa

na kukula nikucheke ukizikwa

Unaringaga unaringa nini

na sura mbaya ata kuliko mbuzi

roho chafu kama ya shetani

unadhaniaga wewe ni nani

[Takata taka taka

mapepo zinakufwata

sijui ata ni nini niliona kwako

ata ningejua ningekatia dadako]x2

Kukupenda ndio mi huregretingi tu sana

hata natamaningi hatungewai patana

unaishi maisha fake na umejaa tu madrama

ata nashukungu uliwachiangwa laana

mara ati leo unaitwa Natasha

kesho umechange jina unaitwa Soni

mara uko single kesho ukona bwana

mara unaishi ronga mara unaishi Doni

I even suspected ur a criminal

na kama we ndo dem acha nikae hivo

staki ata mwingine acha nikufe single

umeniacha na chronic bachelor syndrome

Unakataa kua dem Yangu

Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufa

na nakujaa kwa mazishi yako

kukula na Kukunywa

na kukula nikucheke ukizikwa

Unaringaga unaringa nini

na sura mbaya ata kuliko mbuzi

roho chafu kama ya shetani

unadhaniaga wewe ni nani

[Takata taka taka

mapepo zinakufwata

sijui ata ni nini niliona kwako

ata ningejua ningekatia dadako]x2

Alvindo is yet to comment about the ban.

Check out the press release.

Read more