Issa civil war but this one time do not expect to see Captain America or Iron Man because we have Diamond Platnumz and Ali Kiba and the Tanzanian artistes are dividing themselves up into different groups and camps.

Some have come out to show unequivocal support to Ali Kiba while others; the more business-minded celebrities and artistes are siding with Diamond Platnumz. Let us start with the two artistes ride or dies, their family members and Ali Kiba's wife posted the following video:

There was no caption.

Meanwhile, Esma Platnumz posted the following in response to Ali Kiba:

https://www.instagram.com/p/B4P1ODTHcEm/

This was a play on Ali Kiba's statement on having his penseli stolen. Then there was a Bongo music gospel icon who decided to completely dissect the situation and he put Ali Kiba on blast! Below are his sentiments:

Leo nilikuwa busy kidogo na kazi zangu hivyo sikupata muda wa kuingia mtandaoni ila usiku huu nimeingia na kuona alichokipost Ally Kiba juu ya Diamond nikashangaa sana. Hadi sasa sijajua kama ni Ally Kiba au mke wake ndiyo kaandika hivyo ila kwa kweli nimehuzunika sana. Napenda kutumia muda huu kumkumbusha Ally Kiba kuwa Mungu alimpa nafasi kubwa sana kabla wakati wake haujapita, nadhani yeye ndiyo msanii wa kwanza Tanzania kuimba na msanii mkubwa kama R Kelly ila cha ajabu katika wakati wake hakuweza kujibrand, sasa wenzake wanajibrand na kuutumia wakati wao vizuri yeye anaanza kuwa na uchungu na kuhisi kama amerogwa, mdogo wangu Ally Kiba wacha kabisa kumuwekea Diamond kinyongo kwa ajili ya makosa yako mwenyewe, and you steel have time to correct your mistake na kuanza upya. Wacha kutumia mgongo wa mwenzako ili kusikika, umeona watu wako busy na Uno ya Harmonize sasa unaanza kutafuta attention ya watu kwa kutengeneza bifu zisizokuwa na kichwa wale mkia?! Shame on you, nikiwa kama baba mlezi wa waimbaji wore wa nyimbo za injili ambapo ndani yake yupo raisi wa shirikisho la muziki Tanzania ninakuonya uache hila zako mars moja. @officialalikiba @diamondplatnumz ®rayvanny comment fupi fupi please sitaki povu kabisa

MBASHA AMUWAKIA ALIKIBA BAADA YAKUMVAA DIAMOND PLATNUMZ

And Mange Kimambi said the following about the situation:

Nyambaf ugomvi tunaununua huu team Kiba. Na vile mke ushamrudisha kwao yani ndo umenipa motisha. Tena akukomeeeeeeeeeeeeeeeee kama alivyokoma titi la Tukinao...

Anajitia hataki bifu mbona hajamuita Ommy Dimpoz a-perform? Anamtaka nini mfalme wetu huyo nae? Amkome bwana.

What do you think? Is Diamond Platnumz wrong for trying to get Ali Kiba onboard at Wasafi Fest? Should he have maintained his distance knowing he and Ali Kiba still have beef?