Wasafi Classic label has a new sheriff in town, in the sassy, firerce and hungry Zuchu!

That's right, the little known Zuchu is WCB's latest signee and for those who do not know, she is the daughter to the legendary Tanzanian singer, Khadija Kopa.

Through their social pages, WCB introduced Zuchu to Tanzanian faithfuls as 'The new queen of Bongo fleva'

WE INTRODUCE TO YOU THE NEW QUEEN OF BONGO FLEVA||

ZUCHU Ni mtoto wa Malkia Mwenye Sauti ya Kasuku @khadijakopa.

Amepikwa akapikika

Sasa Ni Muda wa Dunia Kufurahia kipaji Hiki Kipya kutoka Tanzania.

.

.

Ladies & The Gentleman Rasmi Tunamtambulisha Kwenu Msanii Mpya @officialZuchu Katika Label Yetu Ya @wcb_wasafi .

Tafadhali kwa Heshima na Taazima Tunawaomba Watanzania Mumpokee na Kusheherekea Kipaji chake. .

.

#TheNewQueenOfBongoFleva #KaribuZuchu #WelcomeZuchu

#Wcb_wasafi

#WCB4LIFE

Cc @boomplaymusic_tz

Check out her photos of the beautiful Zuchu.