Diamond And Zari
Diamond And Zari
Are Diamond Platnumz and his ex-wife Zari Hassan reconciling?

Are they?

Well, Zari has never deleted his photos from her Instagram page nor has he.

Were they messing with our minds? Was it all a publicity stunt?

Well, in a post celebrating women for International Women's day, Diamond promised his mother, Sandra Michaels, that he will honour her by making his marriage official.

Diamond doesn't say which marriage it is.

"Inshaalah, Mwenyez Mungu anibariki Mwaka huu Mwanao nifanikishe Ndoa yangu na kukupa Furaha ya Milele ambayo siku zote umekuwa Ukiitaka...."

Read the entire post here.

"Happy Women's day Mama na wanawake wote Ulimwenguni... Nashkuru sana kwa kunizaa na kunilea...Wewe ni Mboni na Nguzo ya Maisha yangu mama...

Licha ya shida na Mateso uliyoyapata kwenye kunizaa na kunilea, lakini hata sasa ambapo ulitakiwa walau Upumzike nimekuwa nikikukosea kwa kukuingiza hata kwenye Matatizo Yasiyokuhusu...

Wanakutukana, wanakukebehi na kukutupia kila neno lililo baya, yote kwa sababu yangu mimi, lakini sikuzote umekuwa mwenye kunisamehe, kunipenda na Kunithamini.....

Nakupenda sana Mama, Na nisameh kwa yote nilokukosea...

Inshaalah, Mwenyez Mungu anibariki Mwaka huu Mwanao nifanikishe Ndoa yangu na kukupa Furaha ya Milele ambayo siku zote umekuwa Ukiitaka...."

Here are reactions from fans.

rukiyabadru: Allah akupe mke mwema mwenye kheri na ww duniani na akhera ...ameen

johnoppterMzaa chema....mama diamond...alama ya tz baada ya mwalimu jk. Nyerere!!!respect👏👏👏👏

elsie254: So touching.may the Lord b with u two.

mushqafei: Dah diamond una mambo mwenzetu! haya ndoa gni tena, kwahvyo tukae mkao wakula tukisubiria harusi au ni kiki?

shibah_owekyejjo: I don't care who you marry bse its yo life but I just wonder whether that community d*ck will turn into private one🤔now you are tired of women's samosa ?😂😂😂😂and you have decided to settle!!!😂😂😂this village boy of tandale will kill me one day bse he is soo dumm. What took you soo long to understand that there is no awards in women's pussy 😂😂😂😂stupid boy go garage in tiffas voice bse you where misbehaving 😃😃😃.

pum2130: Mambo ni Fire Fire, Yupi huyo unayemuona kufunga naye pingu za maisha

kararia_Na: muonea huruma huyo unae muowa, siyo kwa mdudu huo unao pita kwenye kila mwenye uchi😷ukweli nikwamba huna mapenzi ya kweli shame on you!!

kadot29: As much as @diamondplatnumz has made mistakes in his life he has owned up to them 👏... Some of all people criticizing him here are way older and have always looked for someone to blame and have never taken responsibility for their mistakes... One thing about this young man is that he finds a way to bounce back.... Let him be I am sure some of you in their 20s left a trail of seeds and have never even known what a child needs and how to provide for it... Don’t be guilted to tying yourself to one woman just to please the crowd..... For better for worst is no joke... Anyway skuhizi umetulia na inafurahisha don’t let personal drama affect your work or overshadow your talent... Believe me pesa ikiisha hawa wote wanasifiwa hapa will not give you a second glance..