harmonize drama
harmonize drama
Reports straight out of Bongo land have it that the President of the Republic of Tanzania might have whispered some words that Harmonize took as a reason to begin to look beyond the border of WCB Records and into the horizon.

And when he did so, he realized that he could perhaps dream of being a boss of his own label and recording studio. That is the type of time Harmonize has been on. A newspaper in Tanzania has revealed that when Harmonize met Pombe Magufuli recently, the two had a small tete-a-tete:

https://www.instagram.com/p/B1T-SYUH_F4/

Jana Nilipata Nafasi Ya Kujumuika Katika Dhifa Ya Taifa Ilioandilia Na Raisi Wetu Kipenzi Doctor John Pombe Magufuli statehouse Jijini Dar es salaam Naamini Nilikuwa Pale Kuwakilisha Vijana Wengi Walio Mtaani Na Wenye Ndoto...!!! 🙏🙏 Hakika ilikuwa Bahati Kwangu Kukutana Na Viongozi Wa Ngazi Za Juu Kabisa Kila Nilie kutana Nae Pale Ndani Alinipongeza Sana..!! Na Kuniambia wanajivunia Uwepo Wangu Katika Hili Taifa Tukufu Ilinipa Moyo Na Somo La Kwamba Kupitia Kipaji Chako Au Kazi Yako Hiyo Hiyo ifanye Kwabidi...!!! Utatimiza Kila Aina Ya Ndoto Yako...!!! Na Kupewa Kila Aina Ya Heshima..!! Kijana Mwenzangu Chukua Hiyo 

Lakini Mwishoni Kabisa Nikakutana Na Swahiba former President D.R Jakaya Mrisho Kikwete Tulifurahi Sanaa Akaniambia Wewe Sasahivi Sio Msani Tena Wewe Ni Mwanamuziki Ni Wakati Wa Kuifanya Tanzania Iendele Kuwa proud Na Wewe Watanzania Woteeee Wanakupenda Na Wana kusupport Go go go.....!!! Nami Nikamwambia Sitoweza Kuwaangusha Na Sitoweza kuku Disappoint Yani Subiri Tuu Uone Hili Movie Linavyoenda...!!! Akacheka Sana mwisho Akaniambia Mimi Nakutakia Kila La Heri...!!! Love You Dady ❤❤

Well, Diamond couldnae have known there was more to this song than met the eye:

And now we have this smoking gun:

If you have enjoyed this article why not check out more from the author?.