mmmmm-600x375
mmmmm-600x375
Harmonize has ruffled a few feathers after he strongly called out on people who have been celebrating Rich Mavoko's absence from the music and social scene.

It has been almost 5 months since the last time the Bongo superstar, made a public appearance, released a song or even posted anything on his socials. In fact the last time he did so was back in December 31st.

According to Harmonize who worked together with Mavoko when the two were under Wasafi label before they both left, some people have been celebrating Mavoko's absence and no one has taken a minute to ask whether he is OK.

He continues to question the haters on how they stand to gain by seeing Mavoko suffer.

He was quick to remind them that his family and many people rely on Mavoko and people should always be humane.

He wrote:

Familia ngapi zipo nyuma ya Rich Mavoko?? na zinamtegemea yeye kwa kila jambo hasa hili la kupata mkate wa kila siku, vipi kuhusu ndoto za familia hizo na zinaishije kwa wakati huu?. Ndoto ngapi za wasani ambao wanategemea kuzifikia hizo ndoto kupitia Mavoko? na nyuma ya hao wasanii kuna familia nyingine ngapi?.

Je, maumivu ya wazazi wake hasa mama mzazi ambaye ndiye kama roho yake, ushajiuliza ni kauli ngapi za uchungu anazitoa ambazo zinaweza kumpata kila anayefurahishwa na hili kwa makusudi???, maana mzazi wa mwenzio ni wako pia laana yake haishindwi kukupata.

La mwisho kabisa mgeukie mwenzio anayefurahia na kuifanya hii kuwa ni habari njema kwake ya kumfanya atembee kifua mbele na hata kuandika mtandaoni kwa furaha Mavoko kapotea muulize anafaidika na nini??.

Harmonize and Mavoko worked together in the hit songs; 'Show Me' and 'Zilipendwa' when they were under Wasafi label.