Last week we told you the tale of how one of Tanzania's leading female artistes, Ruby, was the victim of domestic violence and she had to leave her home after her husband turned on her accusing her of sleeping with Diamond Platnumz.
In the story, Ruby had decided to take a stand to protect herself and her infant daughter by leaving her violent husband and she shared this statement which read in part:
Nimekuwa nikijiuliza niseme ama nionge kwa nani ila katika hizi dhama lazima kusema ukweli wenda nayopitia ama niliomaliza kupitia yanampata binti wa kike mwenye umri kama wangu au zaidi yangu ila tu amekuwa kifungoni kwa kasumba yakuonekana mbaya kama taswira ilivyo kwa watu wengi kuwa wanawake huwa tunazingua sana.
And in the end she named the men who were making her husband feel insecure and Juma Jux name came up:
Nimejitahidi kwa uwezo wangu kukuunganisha na kaka yangu mwisho wa siku unishushie makofi natembea nae ukuishia apo unayasambaza na ya mtu tunae eshimiana kusema natembea nae.
And that is why Tanzanians were interested in finding out whether or not it was true and what the nature of Juma Jux' relationship with Ruby was. And he acquiesced to the questions, saying,
Nimeona, nimesikia sababu kilikuwa ni kitu ambacho kinaenda viral sana, ki ukweli sikutaka kufanya chochote, nilitaka kuona sababu ni nini na kwanini inatokea hivi; ila mtu kama Ruby ni msanii ambaye sikuwahi hata kuwa naye katika mazoea, ila nimtu nayemfahamu toka hata kabla hajatoka, nilimkuta kwa Bob mara ya kwanza alikuwa anaimba wimbo wangu wa sisikii,
.
Nilimwambia napenda anavyoimba, Sijawahi kuwa na mahusiano na Ruby. Nilitamani kumshirikisha katika kazi yangu kutokana na sauti yake, Ruby she's the talented artist, tulimalizana kwenye kazi tu. There is nothing,"
.
Nilimwambia napenda anavyoimba, Sijawahi kuwa na mahusiano na Ruby. Nilitamani kumshirikisha katika kazi yangu kutokana na sauti yake, Ruby she's the talented artist, tulimalizana kwenye kazi tu. There is nothing,"
Shout out to Global Publishers for this one.