S2kizzy is one of two in-house producers at WCB Records who worked on Diamond's new song Baba Lao, the other being Ayo Lizer who worked on the jam tirelessly only so that it would sound entirely similar to Naira Marley's Soapy.

The song that Diamond and the two producers worked on has generated alot of plagiarism whispers, the cacophony of which has clearly reached them at their high table at WCB. And the issues raised have been bothering the three of them. So much so that S2kizzy decided to address the noise.

In an interview at Wasafi FM, S2kizzy was taken to task about the similarities between Baba Lao and Soapy and he responded to the questions thus:

Kitu ambacho watu hawajui kuhusu ngoma ya ‘Baba lao’ ni kwamba tulianza kurekodi kitambo sana, Wakati tukiwa Madagascar mimi Diamond. Tulienda na studio ndogo siunajua sisi ni watu wa muziki tukawa tunagonga mawe tu. Tulikuwa tumekaa tunagonga ngoma fulani slow hivi.
Pale tulipokuwa tumekaa palikuwa na TV inaonesha chaneli fulani hivi,  mara ikapita ngoma fulani ya Naira Marley ‘Soapy’ tukasema mbona kama ngoma ina vibe fulani hivi..Na siku tunaweza kufanya ngoma kama hii. Basi tukaona ngoja tufanye ngoma kama hii halafu tutawasiliana nao wenyewe. Kwa hiyo tukawa inspired na wimbo wa Naira Marley unaitwa ‘Soapy’, Kwa tukaona tunaweza tukaweka maneno yetu, Vibe letu na vitu vyetu lakini kwenye type ya muziki kama huo.