Wema Sepetu has had some rather public struggles with her health and her weight. It really doesn't take a genius to understand the correlation between Wema Sepetu's health and weight.

But she spectacularly resurfaced after taking a hiatus from the the public eye following her legal issues and whatnot and when she did, oh my! She had gone from fatty to cutie!

When Wema Sepetu initially spoke about that situation, she said,

“I will soon Share The Secret to my weight loss na Msijali nitajitahidi kula kula kidogo ili niongezeke hata kidogo tu… Just so you know nilikuwa nina 109kgs na sasa nina 68kgs… Najua kuna watu wengi sana wanasumbuliwa na unene na hawajui nini wafanye… I got you…!!! 😉😉😉”

She finally revealed her secret:

Nilikuwa naona Career yangu inaenda kufa, because nilikuwa nimenenepa sana. Na wakati huo nilikuwa natumia dawa za kusaidia ku conceive na side effect yak endo kulikuwa kule kunona sasa. So kuna wakati Van Vicker aliniuliza kama nitaweza kupata hata cast, kwa unene ule. So I was like hii ni read alarm. Nimefanya sana Gym lakini mwisho wa siku mimi nilikuwa na shida kwenye reproductive system yangu. So nilitreat lile tatizo, lakini Doctor akaniambia you have to start losing weight. So nilikuma na huyu mchina amabaye alinionyesha jinsi alivokuwa kitambo na sasana kuniambia Dawa ambazo nilikuwa na tumia ni hizi hapa, unakula kidonge kimoja. So nikaanza kutumia and so for I like it. So baada ya kupungua niliambiwa I have to wait for like 18 months ndo nijaribu kushika mimba tena. Na ufurahia mwili wangu wa sasa, I feel lighter, I feel comfortable, I feel more beautiful, sijiskie tena mzito mzito maana kule nilikuwa naelekea kulikuwa kubaya,”