Diamond Platnumz

Diamond Platnumz had been admitted to the hospital during and after Christmas. The Tanzanian singer has thanked his fans for praying for him and he's back on his feet again.

The singer did not disclose what he was ailing from.

"Bad Christmas this year," he wrote while he was at the hospital bed

In his new message, Diamond said those who reached out to him encouraged him to fight.

"Nawashkuru sana wote kwa Dua na Maombi yenu, simu na jumbe zenu zimenifariji katika siku hizi za kuumwa kwangu… sikujaaliwa kuwa na X-Mass njema Huu mwaka, Lakini namshkuru Mwenyez Mungu kwa kunibariki kuendelea vyema na Leo kunipa nguvu ya kurudi tena rasmi kwenye Mazoezi ya Show yangu ya CHEERS 2023 tareh 31 Dec pale @ramadaresortdar …"

(I thank you all for your prayers, your  calls and texts have encouraged me in these days when I was sick. I didn't have the best Christmas this year but I thank God for the health and strength to go back to rehearsals ahead of the show on 31st)

Diamond then assured his fans that he would be on stage while encouraging them to book tickets for his 'Cheers' show on new year's eve.

"Poleni kwa kuwacheleweshea Kuwatangazia bei na Vituo Rasmi vya tickets na niwashukuru wote mlokua mkiulizia tickets mara kwa mara…kwangu Mimi huu ni Upendo Mkubwa, saa 10 Kamili leo nitawatangazia Vingilio na Vituo Rasmi vya Kuuza tickets… Shabiki yangu Utaependa Kuhudhuria, jitahidi kuwahi kununua pindi tu nitangazapo maana Uhitaji ni mkubwa na Show hii haitokuwa Live kwa TV 🙏🏼."