Kenyan artist Stevo Simple Boy
Image: Courtesy

Stevo Simple Boy is appelaing for fiancial help from his fans following the death of is father Antony Adera.

"Kwa mashabiki wote Ambao walikuwa wa naulizia jinsi ya kunisapoti hii hapa ntashukuru usaidizi ili niweze kumpuzisha baba salama.Rest in peace Dad," he wrote.

(To all the fans who were asking me how to support me here, I would appreciate your help so that I can rest my father safely. Rest in peace Dad)

He went on to described how heartbroken he is;

"😭😭😭😭😭 Ndoto ya kukupa mafanikio na nilizokuhadi zimedidimia nahisi Sana na kosa nguvu ila yote Tuachie mungu Kunisapoti 0798800103 Stephen Otieno Adera."

(The dream of giving you success and the promises I made have faded away. I feel a lot of guilt and lack of strength but leave it all to God to support me. 0798800103 Stephen Otieno Adera)

Previously, Stevo asked his fans to pray for him;

"Kwanza ningependa kuwashukuru kwa walio shugulikia account yangu ya Instagram... Na ningepemda Sana kuwaambia mashabiki wangu kwamba nimepata msiba ya kupoteza Babangu mzazi Antony Adera ni u chungu Sana kupoteza mzazi ila naomba mniombee na mnisapoti kwa huu wakati mgumu... Mungu awabariki."

(First of all, I would like to thank those who handled my Instagram account... And I would like to tell my fans that I have experienced the tragedy of losing my father, Antony Adera, it is very painful to lose a parent, but I ask you to pray for me and support me in this difficult time... God bless you.)

He continued "Nashukuru Sana mashabiki kwa kunisapoti huu wakati wote ila nimepata msiba wa kupoteza Babangu mzazi naomba mniombee na mnipee nguvu wakati huu."

(I am very grateful to the fans for supporting me all this time, but I have experienced the tragedy of losing my father, please pray for me and give me strength at this time.)