Starlet Wahu
Image: Instagram

Pastor Kanyari broke his silence days after the death of his sister Starlet Wahu. 

While speaking at his church, Kanyari narrated how his sister was brutally murdered at a rental apartment in South B.

"Alidungwa visu kama tatu hivi. My only sister ambaye ameishi America miaka yake yote. A very pretty girl, msichana mzuri amebarikiwa aliuawa."

 
 
 
 
 

He said that his sister was looking for someone to date just like any other woman.

"Ni ukweli sister yangu alipata mwanaume na yule mwanaume akamdate katika mitandao na wakapendania huko kwa Facebook. Mwanaume akamwambia aende wakule na wakunywe na akamwambia yeye ni tajiri sana. Na wasichana was siku hizi wanapenda matajiri sana."

Adding that she was a socialite, "Sister yangu ni wale wasichana ni socialite, Instagram pekee yake anafuatwa na watu wengi kuniliko."

 
 
 
 
 

He continued;

Yule mwanaume akamuita wakaenda kwa club wakakula nyama na kukunywa pombe. Yule mwanaume akamwambia ningependa tuwe marafiki, wakakubaliana, wakakomboa nyumba ya kwenda kulala.

Sister yangu akamwambia siwezi lala na wewe kabla hatujapimwa virusi vya ukimwi. Wakanunua machine za kujipima na wakaenda kwa room ya kulala kumbe yule mwanaume alikua serial killer, sister yangu hakujua.

Sioni makosa ya sister yangu, kwa sababu yeye ni msichana hajaolewa anatafuta mtu wa kum-date. 

Kanyari said that his sister tried calling him in the middle of the night but he did not pick up.

"Ilipofika saa nane ya usiku, sister yangu akanipigia lakini sikushika, kwa hivyo, saa tisa akaanza kukua threatened na yule mwanaume. Akamuitisha elfu mia tano. Sister yangu akakua resistant, yule mwanaume akamdunga kisu ya shingo na mguu. Akamwambia apigie watu wenu watume pesa, ikawa amem-hijack."

Kanyari said that his sister's murderer locked her in the house and left her bleeding.

"Akawa ameanza kubleed, mwanaume akatoka na akafunga na kufuli. SIster yangu akang'ang'ana kutoka, akikufa hapo kwa mlango. It is a sad story."